Sajuki alinigusa sana---Mbunge Vicky Kamata
Mbunge Vicky Kamata akiwa na wasanii mahiri mbalimbali wa filamu kulia ni mtoto wake wa kwanza naye alikuwepo kwenye msiba wa SajukiAkiwa na wajumbe wa kamati ya msiba ambapo Vicky alipata fursa ya kutoa rambirambi zake katika msiba huo |
Alipata pia kushiriki chakula cha pamoja na wasanii wenzake hao kwa kuwa Mbunge huyo pia ni msanii mwanaharakati wa masuala ya muziki na akina mama |
Akiwa na Steve Nyerere |
Mbunge Vicky akiwa na wasanii mahiri nchini Ray (kulia), Mzee Chilo na Rais wa Taff Simon Mwakifwamba |
Ahaa wewe mtoto umekuwa mkubwa hivi!!! Monalisa akimshangaa mtoto wa vicky inaonekana alimuona wakati mtoto huyu akiwa mdogo sana |
Mbunge Vicky Kamata aliguswa sana na msiba wa Sajuki, alikuwa mmoja kati ya waheshimiwa waliomsaidia mchango wa kwenda kutibiwa India |
0 comments: